Habari kuhusu Mwitikio wa Kihisani kutoka Juni, 2017
Baada ya Tishio la Ebola Kuondoka, Marekani Yalitaka Kundi La Wahamiaji Kutoka Afrika Magharibi Kurejea Makwao
Waliingia Marekani kwa mujibu wa sheria kama watu waliotoka kwenye nchi zenye migogoro. Sasa, mgogoro umekweisha, lakini imekuwa vigumu kwao kurudi nyumbani.
Jukwaa Hili Limewasaidia Maelfu ya Wahamiaji Kukutana Tena na Familia Zao Nyumbani
Duniani kote, takribani watu miliaoni 65 ambao, kwa sababu moja au nyingine, wamelazimishwa kuyakimbia makazi yao. Jukwaa hili linalenga kukutanisha familia zilizovunjika.