· Oktoba, 2012

Habari kuhusu Mwitikio wa Kihisani kutoka Oktoba, 2012

Je, Una Swali Lolote kwa Jimmy Carter?

  10 Oktoba 2012

Rais wa zamani wa Marekani Jimmy Carter anapokea maswali kupitia mitandao ya kijamii ya Facebook na Twita (#CarterQA) kama sehemu ya kuadhimisha miaka 30 ya Kituo cha Carter (Carter Center) kinachojishughulisha na “kupigania masuala ya amani na kupambana na magonjwa duniani kote”. Rais Carter atakuwa anayajibu maswali hayo kwa njia...