· Novemba, 2012

Habari kuhusu Mwitikio wa Kihisani kutoka Novemba, 2012

Mkanganyiko wa Makubaliano ya OIC Kuanzisha Ofisi Nchini Myanmar

  30 Novemba 2012

Shirika la Ushirikiano wa Kiislam (OIC) limependekeza kuanzisha ofisi nchini Myanmar kwa lengo la kukisaidia kikundi kidogo cha Waislamu nchini humo. Serikali ilishakubaliana na mpango huu lakini ilibadili uamuzi huu mara baada ya kutokea maandamano ya kupinga uamuzi huo katika maeneo mengi ya nchi.

Mradi wa Tafsiri: Kauli ya Linda Uhuru wa Intaneti Ulimwenguni

GV Utetezi  20 Novemba 2012

Katika siku saba zijazo, Wafasiri wa Kujitolea wa Mradi wa Lingua wa taasisi ya Global Voices watakuwa wakitafsiri makala maalumu ambayo ni harakati ya utetezi unaofanywa na umma mtandaoni na ambao unasaidia kulinda haki za watu kwenye mitandao ya intaneti na kuzitaka serikali zilizo wanachama wa Muungano wa Kimataifa wa...