· Novemba, 2009

Habari kuhusu Mwitikio wa Kihisani kutoka Novemba, 2009

Ujauzito na Magereza: Afya na Haki za Wanawake Magerezani

  5 Novemba 2009

Mapambano bado yanaendelea kuhakikisha haki za binadamu kwa wanawake wajawazito duniani pote, ni inaelekea kwamba katika mchakato huo, wanawake waliopo magerezani wanasahauliwa. Je ni hatua zipi zilizochukuliwa kuhakikisha kuwa nao wanaangaliwa kwa utu, kwa kuzingatia uhai wanaoubeba.