Habari kuhusu Kiingereza kutoka Oktoba, 2014
Uandishi wa Habari Unapokuwa Haitoshelezi
Andiko la mada ambayo inahitaji majibu yanayokidhi, uandishi wa kizamani unaweza silaha inayofaa
Katika Picha: Gaza Yaadhimisha Eid Al-Adha
Ikiwa na zaidi ya Wapalestina 2,000 waliojeruhiwa katika mashambulizi ya hivi karibuni yaliyofanywa na Isralei katika Ukanda wa Gaza, raia bado wanaona leo hii kuna kila sababu ya kusherehekea sikukuu ya Kiislam ya Eid Al-Adha.
GV Face: Alaa Abd El Fattah na Maryam Al Khawajah Wazungumzia Mgomo wa Kula, Kufungwa na Harakati zao Nchini Misri na Bahrain
Mamia ya wafungwa wa kisiasa wako kwenye mgomo wa kula nchini Misri na Bahrain.