Habari kuhusu Asia ya Kusini kutoka Mei, 2018
Sabika Sheikh, Mwanafunzi wa Pakistan Aliyetaka Kuunganisha Nchi Mbili Auawa kwa Kupigwa Risasi
"...alisema...' Ninataka kujifunza utamaduni wa ki-Marekani na ninataka Marekani kujifuzna utamaduni wa Pakistan na ninataka tuje pamoja na tuungane," mama yake wa kufikia anakumbuka.
Wasomaji wa Global Voices wamefuatilia nini juma lililopita?
Wakati wa Juma la kati ya Mei 7-13, 2018, habari na tafsiri zetu zimefikia watu kutoka nchi 207. Nchi ya 61 kwenye orodha? Kazakhstan. Na namba 19? Indonesia.
Bangladeshi Yasherehekea Kurushwa Angani Kwa Setilaiti Yao Kwa Mara ya Kwanza
"Kurushwa kwa chombo hiki cha Bangabandhu Satellite-1 kumethibitishwa. labda hivi ndivyo nchi inavyobadilika. Tunajisikia fahari sana."