Habari kuhusu Asia ya Kusini kutoka Juni, 2014
Mapigano Dhidi ya Waislamu Yaendelea Nchini Sri Lanka
Yametimu majuma mawili tangu ghasia dhidi ya Waislamu kwenye majiji ya pwani nchini Sri Lank- Aluthgama na Beruwala. Ingawa hali imetulia baada ya kulaaniwa sana kila sehemu, bado ghasia hizo...
Kikundi cha Kitalibani Chasema Shambulio la Uwanja wa Ndege wa Karachi Lililoua Watu 24 Lilikuwa ‘Kisasi’
Ingawa wanamgambo wanaosemekana kuingia kwenye sehemu ya zamani ya kupumzikia abiria ambayo ilikuwa imetengwa kwa ajili ya watu maarufu na ndege za Hajj, bado sehemu zote hizo zina njia moja tu ya kutua na kupaa ndege na magaidi wameidhibiti.
Baada ya Waziri wa India Kusema ‘Wakati Mwingine Ubakaji Unakubalika’, Kampeni ya #MenAgainstRape Yavuma Nchini Pakistani
Mamia wa vijana wa kiume kutoka Pakistani wameingia mtandaoni wakifanya kampeni ya kupinga ubakaji