Habari kuhusu Ubaguzi wa Rangi
Miongo Minane Chuki Bado Ipo Kati ya Wajordani na Wapalestina
Ingawa kuishi pamoja kwa watu wawili huwafanya wawe na amani, ushirikiano mkamilifu bado haujawezekana kwenye baadhi ya maeneo ya maisha.
Kwa Sasa Bunge la Cuba Lina Makamu wa Rais Watatu Weusi. Inakuwaje Hali Hiyo Haikutengeneza Habari?

"Kwa wapinzani kote [...] kila mmoja amekandamizwa kiasi kwamba ubaguzi wa rangi si suala la kupewa uzito. Mabadiliko haya yanahujumu mjadala na yanatuzuia kwenda mbele."
Zoezi la Historia Lililotolewa Shuleni Kuhusu Namna ya Kufundisha Utumwa Lazua Mzozo Jamaica
"Sasa kwa zoezi hili, je, Hillel wangeweza kutoa zoezi kuhusu Vita vya Pili vya Dunia ili mwanafunzi aje na mbinu za Ujerumani iliyotawaliwa na Manazi kuwaua Wayahudi?"
Mwanablogu na Mwanaharakati wa Maldives Yameen Rasheed Auawa kwa Kuchomwa na Kitu chenye Ncha Kali
"Ile inayoitwa" Paradiso ya duniani haihakikishii raia wake usalama. Kesho inaweza kuwa ni mimi, wewe au yeyote miongoni mwetu," aliandika mtumiaji mmoja wa Facebook.
Simulizi la Shoga, Kijana Mweusi Aishiye Nje Kidogo ya Mji wa São Paulo, Aliyekuja kuwa Mtengeneza Filamu
"Siogopi kutengeneza video zangu na kuonesha sehemu ninayoweza kuiita nyumbani. Huu ndio ukweli wangu."
Kilicho cha Zamani ni Kipya: Unasikiliza? Matangazo ya Sauti
Katika matangazo haya ya sauti, tunakupeleka hadi Jamaica, Indonesia, Syria, Macedonia na Ethiopia kwa simulizi za kumbukumbu, ufufuaji na uzima mpya
Wenyeji wa Melbourne Wawakaribisha Wakimbikizi wa Syria kwa Mikono Miwili—na Panzi
"Panzi wetu wanatukumbusha kuwa hata kitendo kidogo kinaweza kuwa na matokeo makubwa."
Nchini Naijeria, Unaweza Kukamatwa kwa Kumwita Mbwa Jina Linalofanana na la Rais
"Yeyote ambaye ana mashaka kuhusu kesi hii kuhusishwa na siasa anapaswa kuifuatilia dhamira yake kwa ukaribu kabisa."
Kijana Mkimbizi Raia wa Liberia, Aliyejipatia Elimu Marekani, na kisha Kuamua Kurudi ‘Nyumbani’
Mercy Krua ni mkimbizi wa Liberia anayeishi Boston. Mtoto wake pia alikuwa mkimbizi kutoka Liberia. Hata hivyo, kijana huyu ameamua kurudi na kuishi nchini Liberia.
Ubaguzi wa India kwa Waafrika Waibuka Tena Baada ya m-Kongo Kuuawa kwa Kupigwa
Sema, "India inakupenda," kwa wa-Islamu, wa-Daliti, wa-afrika, wasio na dini...na kisha rudi ukawapige makofi?