Habari kuhusu Vijana
Unapenda wimbo gani wa kulalia?
Nyimbo la kulalia si tu zinawafaa watoto, lakini pia zinaweza kuwafaa watu wazima. Tuma wimbo wako wa kulalia kwa PRI
Maombi ya Mtandao wa WeChat na ‘Self-Media’ kwa Raia wa China
Mitandao ya Tencent’s WeChat, huduma ya ujumbe binafsi kwa namna fulani imechukua nafasi ya mtandao unaofanana kidogo na Twita uuitwao Sina Weibo kama chombo kinachoongoza kwa mawasiliano mbadala. Mtandao wa Tea Leaf Nation umeelezea maombi ya mtandao wa WeChat na “self-media” kwa ujumla/a> kwa kizazi cha Wachina vijana, na maana ya hatua...
Maandamano ya Taiwan ya #KupingaBunge, Yatafsiriwa
Mamia ya watafsiri wamejipanga kupitia mtandao wa facebook kutafsiri habari kuhusu maandamano ya raia wanaojikusanya kwenye Bunge la nchi hiyo kupinga hatua ya chama tawala nchini humo kupitisha mkataba wa kibiashara wenye utata na nchi ya China.
Ukuta Wetu wa Berlin Nchini Syria
"Wanafunzi wa Syria kwa mustakabali bora" ni blogu ya wnafunzi wa Syria wanaofadhiliwa, ambao wanaitumia kujadili matumaini yao, kukumbuka nyumbani, wasiwasi, mashaka, mitazamo chanya na matumaini kwa Syria iliyo bora.
Theluthi ya Mimba Nchi Burkina Faso Hutungwa Bila Kutarajiwa
Watafiti wa Masuala ya Kijamii wa L’Institut supérieur des sciences de la population (Taasisi ya Sayansi ya Idadi ya Watu) mjini Ouagadougou, Burkina Faso ilichapisha ripoti yenye kichwa cha habari “Grossesses non désirées et avortements au Burkina : causes et conséquences” (Sababu na matokeo ya Mimba zisizotarajiwa na utoaji wa mimba...
Shirika la UNICEF Latoa Wito wa Kutokuweko kwa Watoto Katika Maandamano Nchini Thailand
Baada ya mlipuko wa bomu la kurushwa kwa mkono nakuwauwa watoto watatu katika maandamano ya kupambana na serikali katika eneo la Bangkok, Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa lilitoa wito kwa serikali na viongozi wa maandamano kuwalinda watoto na kuwaweka mbali na maandamano. Bijaya Rajbhandari, Mwakilishi wa UNICEF...
Upasuaji wa Kwanza wa Moyo Kongo Brazzaville
Mtandao wa kimataifa wa Afya La Chaîne de l’Espoir (Maana yake Kiungo cha Matumaini) unaripoti kuwa watoto saba wa ki-Kongo waliokuwa na hali mbaya wamenufaika na upasuaji wa moyo [fr] uliofanyika Februari 14 mjini Brazzaville, Kongo. Kwa msaada wa Msaidizi wa Kongo Shirika lenyewe, Prince Béni na Maya, wote wakisumbuliwa na...
VIDEO: Kuelekea Mfumo wa Haki na Jumuishi Nchini Chile
Katika video hiyo hapo juu iliyowekwa na Mfuko wa Jamii Wazi , Giorgio Jackson, kiongozi wa zamani wa wanafunzi na mbunge mpya kabisa nchini Chile, anajadili mfumo wa elimu nchini mwake na maanaa hasa ya kuwa “jamii wazi”. Trine Petersen anaandika: Mfumo wa haki na jumuishi unaoifanya elimu ipatikane kwa...
PICHA: Maandamano Yanaendelea Kote Nchini Venezuela
Maandamano yanaendelea katika majiji kadhaa kote nchini Venezuela. Mitandao ya kijamii, hususani twita, imekuwa ikifurika na picha zinazoonyesha yanayoendelea katika kila mkoa.