Habari kuhusu Mazingira

“Si rahisi kuwa Mhindi” nchini Marekani

  3 Machi 2014

Ricey Wild, Mmarekani wa asili anayeblogu kwenye blogu ya Indian Country Today, anandika kuhusu kuuawa kwa mbwa mwitu kwenye jimbo la Minnesota, Marekani. […]Rafiki yangu mpenzi Melissa alikuja kunichukua mwezi uliopita kwenda kwenye mkutano wa kupinga uwindaji wa mbwa mwitu kwenye jimbo la Mennesota na kwingineko. Tulipanda kaskazini na kuungana...

Mbinu za Uvuvi Endelevu kwa Wavuvi wa Dhivehi

  28 Februari 2014

Mwanablogu wa MaldiviHani Amir anaandika kuhusu mbinu za uvuvi asilia ikiwa ni pamoja na kukamata mamia ya samaki kwa mikono yao, badala ya kutumia nyavu au fimbo. Mwanablogu huyo pia anatoa mwangaza kuhusu namna wanavyonnyonywa na wamiliki walafi wa hoteli wnaojaribu kuwaibia kwa kutokuwalipa kile wanachostahili.

Kuokoa Maisha ya Tembo huko Laos

  26 Januari 2014

Kwa sasa, kuna mamia kadhaa tu ya Tembo nchini Laos, nchi ambayo mwanzoni ilijulikana kama 'nchi ya mamilioni ya tembo'. Makundi ya wapigania haki za wanyama wapaza sauti zao ili kulinda uhai wa tembo.

Ecuador: “Harakati ya Kiasili Itaendelea”

  20 Novemba 2013

“Serikali inaweza kuendelea na jitihada zake za kutufanya sisi kutosikika, lakini mapambano yetu hayawezi kushindwa. Bora kuna ukosefu wa haki, na kuwepo kwa tofauti kubwa kati ya mijini na vijijini kubaki, harakati ya kiasili itaendelea.” Manuela Picq alizungumza na Carlos Pérez Guartambel, kiongozi wa sasa wa Ecuarunari [es] (Shirikisho la...