Habari kuhusu Mazingira kutoka Machi, 2010
Jamhuri ya Dominika: Upinzani Dhidi ya Shughuli za Kampuni ya Uchimbaji Dhahabu ya Barrick
Kumekuwa na ongezeko la upinzani dhidi ya shughuli za Kampuni ya Uchimbaji Dhahabu ya Barrick kwenye Jamhuri ya Dominika kwa sababu ya vipengele vilivyo kwenye mkataba na manufaa ya dola hilo, vilevile kutokana na sababu mbalimbali za kimazingira.
Mwaka Mmoja Baada ya Mapinduzi, Viongozi wa Madagaska Wakabiliwa na Vikwazo
Machi 17, 2009 nchini Madagaska, vikwazo vinavyowalenga viongozi wa sasa wa Madagaska vinaandaliwa kwa kushindwa kwao kuheshima makubaliano ya Maputo ambayo hapo awali yalifikiwa na pande zote zinazohusika. Matokeo ya vikwazo hivyo ni pamoja na kuzuiwa kwa mali zinazozalisha fedha na pengine kukamatwa kwa wanaohusika endapo watasafiri nje ya nchi.
Kenya: Mafuriko Makubwa Yapasua Kingo za Mto Ewaso Nyiro Huko Samburu
Alfajiri siku ya Alhamisi, tarehe 4 Machi 2010, mafuriko makubwa yaliikumba Samburu huko kaskazini mwa Kenya na kuharibu nyumba 6 za kulala watalii watalii, baadhi ya kambi za utafiti wa...