· Novemba, 2013

Habari kuhusu Kambodia kutoka Novemba, 2013

Jinsi Vyombo vya Habari vya Kijamii Vimeleta Mabadiliko ya Kisiasa Nchini Cambodia

  8 Novemba 2013

Colin Meyn anaelezea jinsi ‘kuenea kwa haraka kwa kwa vyombo vya habari vya kijamii kunabadilisha mazingira ya kisiasa nchini Cambodia.’ Vijana wapiga kura wanaotaka mabadiliko pamoja na kampeni ya fujo ya upinzani katika mtandao ulifanya athari kubwa katika uchaguzi wa hivi karibuni. Jambo la kushangaza, Waziri Mkuu pia alitaja Facebook...