· Julai, 2010

Habari kuhusu Kambodia kutoka Julai, 2010

Asia ya Kusini Mashariki : Ngono na Udhibiti wa Mtandao

  26 Julai 2010

Uratibu wa maudhui katika intaneti unaonekana kana kwamba ni kinyume na demokrasia lakini serikali za Kusini Mashariki mwa Asia zinaweza kuhalalisha kitendo hicho kwa kuzusha haja ya kuwaokoa vijana kutoka kwenye janga la tabia za ngono holela.

Kambodia: Je, Viwango vya Maadili Miongoni Mwa Watawa Vinaporomoka?

  12 Julai 2010

Mtawa nchini Kambodia alikamatwa kwa akichukua picha za video za wanawake waliokuwa uchi katika jumba la watawa. picha hizo za video zilisambazwa sana kwa kutumia simu za viganjani na intaneti. Pia kuna taarifa nyingine za watawa kulewa na kuangalia filamu za ngono. Wanamtandao wa Kambodia wanatoa maoni