Habari kuhusu Pakistan kutoka Julai, 2018
Kumetokea Nini Kwenye Haki za Kidijitali kwa Miaka Saba Iliyopita? Toleo la 300 la Ripoti ya Raia Mtandaoni Litakueleza

Wiki hii katika kusherehekea toleo letu la 300, tunaangazia miaka saba iliyopita ya habari za haki ya kidijitali duniani!
Waziri Mkuu wa Zamani wa Pakistan Nawaz Sharif na Binti Yake Anarudi Pakistani Akikabiliwa na Hukumu ya rushwa
"Hukumu hii ni maendeleo makubwa katika vita dhidi ya ufisadi, na kila fisadi lazima aandikwe kwenye kitabu cha walioiibia nchi."