· Septemba, 2012

Habari kuhusu Pakistan kutoka Septemba, 2012

Pakistani: Msichana wa Kikristo wa Miaka 11 Awekwa Kizuizini kwa Kukashifu Dini.

  16 Septemba 2012

Rimsha Masih msichana Mkristo mwenye umri wa miaka 11 ametuhumiwa kwa makosa ya kukashifu na ameshikiliwa kwa siku kumi na nne katika gereza za watoto huko Rawalpindi, nchini Pakistani. Anashitakiwa kwa kuchoma kurasa za kitabu cha Noorani Qaida, kinachotumika kwa wanafunzi wa lugha ya kiarabu, na kuziweka katika mfuko wa 'rambo'.