· Novemba, 2009

Habari kuhusu Pakistan kutoka Novemba, 2009

Pakistani: Katika Vita

  4 Novemba 2009

Mohammad Malick anatoa maoni juu ya shambulizi la kigaidi la hivi karibuni kwenye soko la watu wa tabaka chini na la kati huko Peshawar: “limeonyesha kuwa hii ni vita ambyo magaidi wanasimama upande mmoja wa mstari wa damu, na sisi wananchi upande mwingine.”