Habari kuhusu Dini kutoka Septemba, 2020
Ukeketaji Waongezeka Mashariki ya Kati Katika Kipindi cha Mlipuko wa Mlipuko wa COVID-19
Janga hili limetibua mikakati ya kuzuia ukeketaji huko Mashariki ya Kati ambapo suala hili linaripotiwa kwa uchache sana.
Makubaliano Ya Amani Ya Kihistoria Nchini Sudani Yafanyika Kukiwa na Mafuriko Ya Kihistoria
Makubaliano ya amani ya Kihistoria ya vikundi vya waasi Sudani yamefanyika kukiwa na mafuriko ya Kihistoria yaliyosababisha majanga. Nini hasa mkakati wa serikali kuyarahisisha maisha?