Habari kuhusu Dini kutoka Juni, 2013
Raia wa Myanmar Wachukizwa na Mashambulizi Dhidi ya Wahamiaji Wenzao Nchini Malasia.
Vurugu za kikabila nchini Mynmar inaonekana kusambaa hata katika nchi za jirani.. Baadhi ya wahamiaji wa Mynmar wa jamii ya budha wanaoishi nchini Malasia wiki chache zilizopita ambapo watu wengi wanaamini kuwa mashambulia hayo yanahusiana mvutano wa kimakabila na kidini unaoendelea nchini Myanmar. Mwitikio wa awali wa serikali ya Myanmar wa kukanusha matukio haya uliwakasirisha watumiaji wengi wa mtandao.
Vijana wa Kisaudi Wakamatwa Wakituhumiwa ”Kukashifu Dini”
Vijana wawili wa ki-Saudi walikamatwa mjini Riyadh na Kamati ya Kukuza Maadili na Kuzuia Maovu (CPVPV) kwa tuhuma za kukashifu dini. MMoja wao, Bader Al-Rasheed, anasimulia tukio hilo kwa twiti kadhaa.