Habari kuhusu Dini kutoka Januari, 2015
Wanawake wa Kiislam na Kikristo Nchini Nigeria Walivyoungana Kupambana na Misimamo Mikali ya Kidini
Mchungaji Esther Ibanga kiongozi wa ki-Islam Khadija Hawaja walianzisha Mradi wa Wanawake Wasio na Mipaka miaka michache iliyopita kama jitihada za kurudisha hali ya usalama na amani katika jamii zao.
Wafilipino Walivyomficha Papa Francis Hali Mbaya ya Haki za Kijamii Nchini Humo
Wanaharakati, watoto wa mitaani, na wakazi masikini wa mijini walikuwa baadhi ya watu waliokuwa wamefichwa na serikali wkaati wa ziara ya Papa Francis nchini Ufilipino.