Habari kuhusu Dini kutoka Septemba, 2016
Mahakama Nchini Algeria Yaonesha Msimamo dhidi ya Mashtaka ya Mwanaharakati Aliyefungwa kwa Kutusi Uislamu Kupitia Facebook

Pamoja na kuwa adhabu yake imepunguzwa kwa miaka miwili, Bouhafs ataendelea kutumikia adhabu yake gerezani kwa kutumia uhuru wake wa kujieleza.