makala mpya zaidi zilizoandikwa na Samuel Kabulo
Miongo Minane Chuki Bado Ipo Kati ya Wajordani na Wapalestina
Ingawa kuishi pamoja kwa watu wawili huwafanya wawe na amani, ushirikiano mkamilifu bado haujawezekana kwenye baadhi ya maeneo ya maisha.
Sabika Sheikh, Mwanafunzi wa Pakistan Aliyetaka Kuunganisha Nchi Mbili Auawa kwa Kupigwa Risasi
"...alisema...' Ninataka kujifunza utamaduni wa ki-Marekani na ninataka Marekani kujifuzna utamaduni wa Pakistan na ninataka tuje pamoja na tuungane," mama yake wa kufikia anakumbuka.
Taarifa ya Raia Mtandaoni: Hukumu ya Mahakama Kuu ya Gambia yaacha Mashaka juu ya Uhuru wa Kutoa Maoni
Taarifa ya Advox Kuhusu Raia wa Mtandaoni inakupa mhutasari wa habari za kimataifa kuhusu changamoto, mafanikio na yanayoendelea kuhusu haki za mtandaoni duniani kote
Kwa Sasa Bunge la Cuba Lina Makamu wa Rais Watatu Weusi. Inakuwaje Hali Hiyo Haikutengeneza Habari?
"Kwa wapinzani kote [...] kila mmoja amekandamizwa kiasi kwamba ubaguzi wa rangi si suala la kupewa uzito. Mabadiliko haya yanahujumu mjadala na yanatuzuia kwenda mbele."
Zoezi la Historia Lililotolewa Shuleni Kuhusu Namna ya Kufundisha Utumwa Lazua Mzozo Jamaica
"Sasa kwa zoezi hili, je, Hillel wangeweza kutoa zoezi kuhusu Vita vya Pili vya Dunia ili mwanafunzi aje na mbinu za Ujerumani iliyotawaliwa na Manazi kuwaua Wayahudi?"
Serikali ya Uganda Yapanga Kutoza Kodi Watumiaji wa Mitandao ya Kijamii kwa Kuendekeza Umbea
Uganda inataka kufaidika mahali ambapo haijawekeza. Wamiliki wa mitandao ya kijamii hutoa huduma bila kutoza kodi, wewe unataka walipe kodi?
Je, WanaBlogu wa Tanzania Wataridhia Kulipa au Watagomea ‘Kodi ya Blogu'?
Nchini Tanzania, ambapo kihistoria, vyombo vya habari vimekuwa na ukaribu mkubwa na maslahi ya serikali, kublogu kulifungua uwezekano wa watu binafsi kuanzisha majukwaa binafsi ya kupasha habari ambayo yameonekana kuwa na nguvu sana.