makala mpya zaidi zilizoandikwa na Samuel Kabulo
Waziri Mkuu wa Zamani wa Pakistan Nawaz Sharif na Binti Yake Anarudi Pakistani Akikabiliwa na Hukumu ya rushwa
"Hukumu hii ni maendeleo makubwa katika vita dhidi ya ufisadi, na kila fisadi lazima aandikwe kwenye kitabu cha walioiibia nchi."
Serikali ya Cambodia Yasema Uchaguzi Ujao Utahusisha Watu Wengi na Utakuwa Huru na Haki—Lakini Asasi za Kiraia Zinasema Vinginevyo
Serikali imevunja chama kikuu cha upinzani, kuweka vizuizi kwa waangalizi wa uchaguzi, panua udhibiti wake juu ya mitandao ya kijamii na kufungua mashtaka ya kodi dhidi ya vyombo vya habari vinavyokosoa serikali.
Waandamanaji wa Amani Kutoka Helmand Wanatarajia Kubadilisha Historia ya Afghanistan
"Kuwaona ilikuwa wakati wa furaha na uponyaji kwangu na kwa mama."
Mwandishi wa Habari Mlebanoni Pamoja na Kutokuwepo Ahukumiwa Kifungo, ‘Kwa kumkashifu’ Waziri wa Mambo ya Kigeni kupitia Facebook
Akiishi kama mkimbizi nchini Uingereza, Fidaa Itani anasema hukumu hiyo inatamatisha enzi za uhuru wa kutoa maoni nchini Lebanon.
Waganda Wafanya Maandamano ya Amani Mitaani kwa Kuchoshwa na Mauaji ya Wanawake
"Kwa hiyo naandamana, niwakumbuke, hawakupewa haki yoyote na hakuna aliyekamatwa kwa ajili ya vifo hivi vya kutisha. Lakini nawathamini."
Utafiti wa Kwanza wa Kina Kuhusu Unyanyasaji wa Watoto Nchini Madagaska Unaonesha Hali Inatisha
Ripoti inasema asilimia 89 ya watoto wanadai kuathiriwa na unyanyasaji majumbani angalau mara moja wakati asilimia 30 ya vijana kinda wa kike katika Kisiwa cha Madagaska tayari wana mtoto.
Taarifa ya raia mtandaoni: Nani Atafuata? Mgogoro wa Kisiasa Venezuela Unaonesha Wimbi Jipya la Udhibiti, Ukandamizaji wa Vyombo vya Habari
Taarifa ya raia mtandaoni ya Advox inatoa picha ya haraka kimataifa juu ya changamoto, ushindi na mienendo inayoibuka katika haki za kimtandao duniani
Taarifa ya Raia Mtandaoni: Sheria Mpya Cambodia na Tanzania Zimelazimu Vyombo vya Habari vya Kujitegemea Kuwa Kimya au — Kufungwa
Taarifa ya raia mtandaoni ya Advox inaangazia taswira ya haraka kimataifa juu ya changamoto, ushindi na mienendo inayoibuka katika haki za kimtandao duniani.
Samahani, Siongei Kiingereza. Naongea kwa Picha
"Hakuna kisichoweza kupigwa picha, hakuna kisichoweza kutupa simulizi jipya."
Ripoti ya Raia Mtandaoni: Sheria ya Uganda ya Kodi ya WhatsApp na Kadi za Simu Itafanya Iwe Vigumu Kuendelea kutumia Mtandao
Taarifa ya Watumiaji wa Mtandao inakuletea muhtasari wa changamoto, mafanikio na mambo yanayojitokeza kuhusiana na haki za Mtandao duniani kote.