Habari kutoka Muhtasari wa Habari na Harakati za Mtandaoni
Kwa Nini Kublogu ni Tishio kwa Serikali ya Ethiopia
Beza Tesfaye anaelezea kwa nini kublogu ni tishio kwa serikali ya Ethiopia kufuatia kukamatwa kwa wanablogu tisa Ethiopia: Ninapoandika haya, Kwa uwoga nakumbushwa kwamba nchini Ethiopia, kutoa maoni yako kunaweza kukufanya uakapewa tiketi ya daraja la kwanza gerezani. Kutoka Aprili 25 hadi 26, 2014, wanablogu tisa wa Ethiopia na waandishi...
Caribbean Yajiunga na Kampeni ya #BringBackOurGirls
Kama watoto wetu wangetoweka tungelipenda dunia yote kusimama na kuja kutusaidia kuwatafuta wao. Sisi … tunauliza kwamba … kwa nini mara nyingi miili ya wanawake huwa uwanja wa vita ambapo vita hupiganiwa. Hili si tatizo ambalo linahusisha mji mdogo nchini Nigeria, ni tatizo la wasichana wote kila mahali. Tillah Willah...
#BringBackOurGirls: Taarifa Kutoka kwa Wanablogu Wenye Wasiwasi Nigeria
Wanablogu wa Nigeria wameongezea sauti zao kwa kampeni ya #BringBackOurGirls: Sisi, wanablogu wa Nigeria tuliotia saini zetu hapa chini, kwa mtazamo na wasiwasi kwa kuendelea kukamatwa kwa wasichana wa shule wasio na hatia ambao walitekwa kutoka Chibok Aprili 15, 2014. Ni maoni yetu kwamba hakuna kiasi cha kero za kijamii...
Naijeria: Kampeni ya #Bringourgirlsback
Katikati ya mwezi Aprili, zaidi ya wasichana 200 wa shule walitekwa nyara kutoka shule ya sekondari iliyoko eneo la Chibok, Naijeria, kitendo kinachodaiwa kufanywa na Boko Haram, kundi la kigaidi lililoko katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo. Ingawa baadhi ya wasichana 57 wameweza kutoroka, bado wengine wengi wako...
Gazeti la Kifaransa Lachapisha Chati Inayoonyesha Mataifa Yanayoongoza kwa Uhalifu
Gazeti la Le Progrès la jijini Lyon, Ufaransa ilichapisha chati [fr] yenye jina la “”Délinquance : à chacun sa spécialité – principales nationalités impliquées” (Uhalifu: Mataifa yanayohusishwa zaidi na [kila aina ya uhalifu]) (Ona picha katika mtandao wa twita hapa chini): Dans son édition du jour, Le Progrès ose publier un...
Mashirika ya Kimataifa, Wanaharakati na Waandishi dhidi ya #LeyTelecom
Mashirika kadhaa ya kimataifa ya haki za digitali zilitumia kongamano la Mexico barua kuonyesha msaada wa kimataifa [es] kwa ajili ya kutetea uhuru wa kujieleza na uhuru kwenye mtandao nchini Mexico. Barua imetiwa sahihi na Electronic Frontier Foundation, Vía Libre, Digital Rights NGO, miongoni mwa wasomi wengine na wataalam. Kwa...
M-Misri Atumia Mtandao wa YouTube Kupinga Kutumikia Jeshi kwa Lazima
Mwanaharakati wa Misri ametumia mtandao wa YouTube kuelezea anavyopinga utaratibu wa kulitumikia jeshi kwa lazima kwa raia wenye umri wa miaka kati ya 18 na 30. Katika barua pepe aliyoituma kwa Global Voices mtandaoni, Adam anaandika: Mimi ni Mmisri mwangalifu ninayepinga kwa nguvu zote utaratibu wa kulitumikia Jeshi la Misri...
Jiunge na IGF Japan Kujadili Utawala wa Mtandao
IGF Japan, hatua ya maendeleo nchini Japani ya Jukwaa la Utawala Mtandao, ambapo watu wanaojihusisha mtandaoni huja pamoja kujadili changamoto za utawala wa mtandao, ulifanyika Machi 14, 2014
Utani Mitandaoni: Siku ya Wajinga Nchini Ethiopia
Wa-Ethiopia kwenye mtandao wa twita wanasherehekea siku ya wajinga duniani kwa kutangaza habari bandia ambazo zinaiga uongo unaotangazwa na vyombo vya habari vya serikali. Raia mmoja wa Ethiopia anayetwiti: “Wanatangaza uongo wa mchana siku 365 za mwaka, ngoja twarudishie dozi ya kuwatosha yenye habari za uongo kadri tunavyoweza”. Wafuatilie ili...