China: Upinzani Dhidi ya Tamasha la Nyama ya Mbwa

Online poster against June 21 dog meat festival in Yulin city, Guangxi province. The poster calls for abolition of the Dog Meat Festival. The dog says: Please don't eat us, we are human's friends. Story from ChinaSMACK.

Bango kwenye mtandao linalopinga tamasha la nyama ya mbwa ya Juni 21 mjini Yulin, kwenye jimbo la Guangxi. Bango linatoa wito wa kukomeshwa kwa Tamasha la Nyama ya Mbwa. Mbwa anasema: Tafadhali msitule sisi, sisi ni marafiki wa binadamu. Habari kutoka ChinaSMACK.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.