makala mpya zaidi zilizoandikwa na ndesanjo macha
Hivyo Ndivyo Afrika Ilivyo-Twiti Mwaka 2015
Naijeria, Afrika Kusini, Ethiopia, Burundi na Misri zilikuwa na mazungumzo makali zaidi ya kisiasa kwenye mtandao wa Twita.
Liberia Kukabidhi Elimu ya Msingi kwa Mwekezaji Binafsi wa Kimarekani
"Kuzifikiria shule kama sehemu tu ya kujifunza kusoma yaweza kuwa wazo la manufaa katika nchi ambayo watoto wake wengi hawawezi kufikia angalau hatua hiyo."
Imeanza Kuwa Jinai Kuibua Vitendo vya Kifisadi Nchini Botswana?
Inajalisha namna gani waandishi wamepata taarifa zinazowawezesha kuibua vitendo vya ufisadi?
Soga la “Twita” Laibua Hali ya Ukame Mbaya Kuwahi Kutokea Nchini Lesotho
"tatizo linaendelea kuwa kubwa, kwa hivyo inatubidi kukabiliana nalo kwa kutafuta ufumbuzi wa muda mrefu, sio kugawa cakula pekee."
Rais Mzee Kuliko wote Duniani, Robert Mugabe wa Zimbabwe Atimiza Miaka 92
"Nimeshafariki mara nyingi. Nimempita hata Yesu Kristu aliyekufa mara moja tu."
‘Uganda ni Chungu Kinachotokota': Kukamatwa, Udanganyifu na Kufungwa kwa Mitandao ya Kijamii Vyatawala Uchaguzi
"Winning an election through hook and crook while clobbering your fellow countrymen should never be a proud moment!"
Wa-Tanzania Wamkumbuka Baba wa Taifa Lao kwa Alama ya #DearNyerere
"#DearNyerere, enzi zako, umaarufu ulitokana na matendo mazuri kwa nchi yako, lakini siku hizi ni idadi ya wafuasi kwneye mitandao ya Instagram na Twita."
Fuatilia Uchanguzi wa Kihistoria Kuwahi Kutokea Nchini Tanzania
"Lowassa ni Robin Hood wa Kimasai. Au El Chapo wa Kitanzania. Itazame mikono aishikayo na siyo vidole avikanyagavyo."
Kutana na Wanadamu wa Kibera, Makazi ya ‘Uswahili’ zaidi Barani Afrika
The story, in pictures, of the lives and challenges of residents of Africa's largest urban slum.
Wanawake Wanaovaa Nusu Uchi Wataiokoa Sekta ya Utalii Kenya?
Je, kutembea uchi yanaweza kuwa mbinu bora ya kufufua sekta ya utalii nchini Kenya kufuatia mashambulizi ya wanamgambo wa Al Shabaab?: Seneta mteule, Mbura anasemekana kuwaomba wanawake katika mkoa wa pwani kutembea nusu uchi ili kuwavutia watalii zaidi kuzuru eneo hilo. Wito huo umeibua maswali kuhusiana na thamani ya mwanamke...