Maktaba ya Digitali ya Tiba Asilia Nchini Ufilipino

philippine_health_researchIkiwa imeanzishwa na mamlaka kadhaa za kiserikali, Maktaba Dijitali ya Elimu ya Tiba za Jadi Ufilipino (TKDL-Health) inalenga kuweka kumbukumbu na kufanya masuala ya tiba za jadi kuwa za kidijitali nchini humo.

Jamii, ambazo nyingi ni zile za miliamni au majirani zao, zimekuwa zikitegemea miti na mazao mengine ya asili kutoka porini katika kujikinga au kujitibu magonjwa yao. Lakini uharibifu wa mazingira na kushambuliwa vikali na tamaduni kuu za jamii zinazoishi mabondeni hivi sasa kunatishia mila hizo za tiba.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.