Habari kuhusu Uruguai kutoka Disemba, 2013

Uruguay yawa Nchi ya kwanza Kuhalalisha Soko la Bangi

  13 Disemba 2013

Baraza la Seneti la Urugwai lilipiga kura 16 kwa 13 kuhalalisha uzalishaji na uuzaji wa bangi.. Rais Mujica anatarajiwa kutia saini sheria, ambayo itakuwa na ufanisi kuanzia mwaka ujao. Estoy a favor de legalizar la Marihuana pero estaria bueno ser noticia en el mundo por nuestra Seguridad y Educacion —...