Habari kutoka na

Madai ya Ukiukaji wa Haki za Binadamu Wakati wa Mgomo wa Kilimo Nchini Colombia

  9 Mei 2014

Tovuti ya ‘kongamano la watu’ imeshutumu hadharani [es] uvunjifu wa haki za binadamu unayoendelea katika mgomo wa kilimo [es] nchini Colombia. Wanaripoti madai ya ukiukaji wa haki za binadamu katika mikoa mbalimbali: Catatumbo na Cucuta, San Pablo-Bolívar, Sogamoso – Boyaca, Kaskazini Santander-Hacarí, Yopal-Casanare, Boyaca, Berlin – Santander, Pinchote – Santander...

Colombia: Kuanguka kwa Mgodi Kwasababisha Vifo na Uharibifu

  7 Mei 2014

Watu wasiopungua watatu walikufa na kati ya watu 25 na 30 wamenaswa baada ya kuanguka kwa mgodi ulikuwa unaendeshwa kinyume cha sheria katika idara ya Cauca, kusini magharibi mwa Colombia, kama ilivyoripotiwa [es] na vyombo vya habari mnamo Alhamisi, Mei 1. HSBNoticias aliarifu kwenye mtandao wa Twita: [FOTOS] [+18] Se...

Matatizo ya Colombia kwa Ukosefu wa Usawa Mijini

  11 Novemba 2013

Taarifa ya utafiti wa hivi karibuni wa Umoja wa Mataifailiyoripotiwa katika El Tiempo, iligundua kwamba Colombia ilikuwa nchi ambayo iliongezeka kwa wingi wa kukosekana kwa usawa wa mijini mwake kwa miongo miwili iliyopita.Bogotá ilikuwa kanda isiyo na usawa kwa mji mkuu. Na kwa miji 13 ya Colombia iliyosomwa na Umoja...