Brazil: Je Unamuenzi Mandela? Basi Saidia Haki za Binadamu

Bango la kuonyesha heshima kwa Nelson Mandela limechukua umaarufu usiojulikana wa kiongozi wa Afrika Kusini nchini Brazil kwa kuwaita wale ambao wanaenzi urithi wake kusaidia haki za binadamu. Ujumbe huo ulienezwa na shirika lisilokuwa la kiserikali Conectas Human Rights katika Siku ya Haki za Binadamu, Desemba 10, 2013.

Banner publicized by Conectas Human Rights on Facebook

Bango lililotangazwa na Conectas Human Rights kwa mtandao wa Facebook
Tafsiri: “Je, wewe pia kujihisi uliongozwa na urithi wake? Maelfu ya watu duniani kote wanakabiliwa na ukiukwaji wa haki za binadamu kila siku. Wanakuhitaji kufanya zaidi ya kutazama tuu. Fuata mfano wake. Kubaliana na sababu. Kusaidia haki za binadamu. Hapa. Sasa. “Desemba 10, Siku ya Haki za Binadamu. Nelson Mandela (1918-2013)

“Tenda zaidi ya kuongozwa” ni mwito wa shirika katika nchi ambapo kihafidhina na maono hasi kuhusu haki za binadamu inaonekana kuongezeka. Kama baadhi kura za maoni ya hivi karibuni zinaonyesha, 90% ya Wa-Brazil wanaunga kupunguza umri wa miaka kwa jukumu la jinai, na 61% wanaamini kwamba uhalifu unasababishwa na tabia mbaya za watu.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.