Joyce Maina

Am a Kenyan citizen living in Nairobi. Graduated in tourism and currently working as a Tour Operator.

Anwani ya Barua Pepe Joyce Maina

makala mpya zaidi zilizoandikwa na Joyce Maina

Je Kulikuwa na Jaribio la Mapinduzi Nchini Lesotho?

Sikiliza sauti inayoelezea kile hasa kinachoendelea nchini Lesotho kufuatia madai ya mapinduzi ya kijeshi: Waziri mkuu amekimbilia nchini Afrika Kusini na anasema ni mapinduzi ya kijeshi. Jeshi la Lesotho linasema sio mapinduzi. Siasa zinazua utata. African Defence Review inazungumza na KRISTEN VAN SCHIE wa SADC na mwandishi DARREN OLIVIER kuuliza...

Nzige Wavamia Mji Mkuu wa Madagaska

#valala pic.twitter.com/YHzOx5Q8QU — Vaintche Rahouli (@vincraholi) Agosti 28, 2014 Watumiaji-mtandao wa Twita na Facebook kutoka mji mkuu wa Madagaska, Antananarivo, wamepachika picha kadhaa za nzige wakivamia mji. Uvamizi wa nzige sio tukio la ajabu nchini Madagaska, hasa baada ya dhoruba za kitropiki, lakini sio kawaida katika miji mikubwa. Nzige wanaweza...

Pongezi Kemkem kwa Alexander Sodiqov Kutoka Toronto, Canada

Posti hii ni sehemu ya kampeni yetu ya #FreeAlexSodiqov: Mwandishi wa GV aliyetiwa kizuizini nchini Tajikistan.  Ni muda wa wiki tatu tangu mwandishi wa Global Voices Alexander Sodiqov kukamatwa mjini Khorog, Tajikistan, mke wake, Musharraf, amemwona mara moja tu. Ingawa imedhaniwa kwamba Alex – aliyekuwa anafanya utafiti wa kitaaluma wakati...