Habari kuhusu Kihispania kutoka Mei, 2014
Maadili na Uwazi katika Makampuni Binafsi
Watu wanazidi kudai uwazi kwa uongozi wa serikali zao. Kwa kudai uwazi, watu wanachotaka ni kuthibitisha kuwepo kwa maadili katika shughuli za serikali. Lakini, je vipi kuhusu makampuni binafsi? Ingrid Kost anadhani [es] maadili ni muhimu kama tunataka ushirika endelevu: Mahitaji ya uwazi zaidi na kuongeza uwajibikaji kwa makampuni ya...
Global Voices na Connectas Watangaza Kushirikiana Maudhui
Global Voices itachapisha maudhui yanayoandikwa na CONNECTAS, mradi wa kiuandishi kwa Bara la Amerika Kusini uliopo nchini Columbia.
Colombia: Hatua za Kudhibiti Mashambulizi ya Kemikali
Ili kuepusha mashambulizi ya kemikali yanayowalenga hasa wanawake katika maeneo mbalimbali ya nchi, serikali ya Colombia itaanza kudhibiti [es] mauzo ya rejareja ya kemikali ya ‘chokaa’ na vitu vya kemikali kama salfa, haidrokloriki, mariati, chokaa, naitriki na sodiamu haidroksaidi, katika hali ya kimiminika na vipande RCN Radio ilitoa taarifa kwenye...
Madai ya Ukiukaji wa Haki za Binadamu Wakati wa Mgomo wa Kilimo Nchini Colombia
Tovuti ya ‘kongamano la watu’ imeshutumu hadharani [es] uvunjifu wa haki za binadamu unayoendelea katika mgomo wa kilimo [es] nchini Colombia. Wanaripoti madai ya ukiukaji wa haki za binadamu katika mikoa mbalimbali: Catatumbo na Cucuta, San Pablo-Bolívar, Sogamoso – Boyaca, Kaskazini Santander-Hacarí, Yopal-Casanare, Boyaca, Berlin – Santander, Pinchote – Santander...
Venezuela: Utata na Mashambulizi Wajadiliwa kwenye Mtandao wa Twita
Wakitumia alama ashiria #UcabCaracas na #SOSColectivosDelTerrorAtacanUCAB [SOS vikundi vya kigaidi vya mashambulizi UCAB], maoni na picha ya mashambulizi kwa wanafunzi kwenye maandamano ambayo inaonekana yalitokea katika Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Andrés Bello [es] mjini Caracas zimeonyeshwa sana. Miongoni mwa wale wanao twiti ndani ya chuo kikuu hicho, kilchosimamisha shughuli...
Colombia: Kuanguka kwa Mgodi Kwasababisha Vifo na Uharibifu
Watu wasiopungua watatu walikufa na kati ya watu 25 na 30 wamenaswa baada ya kuanguka kwa mgodi ulikuwa unaendeshwa kinyume cha sheria katika idara ya Cauca, kusini magharibi mwa Colombia, kama ilivyoripotiwa [es] na vyombo vya habari mnamo Alhamisi, Mei 1. HSBNoticias aliarifu kwenye mtandao wa Twita: [FOTOS] [+18] Se...