Habari kuhusu Kireno kutoka Aprili, 2019
Kwa Mara ya Kwanza katika Historia ya Nchi, Mwanamke Aongoza Chuo Kikuu cha Umma Msumbiji
Nafasi yake ya Mkuu wa Chuo kikuu cha umma ni sawa na nafasi ya waziri katika Msumbiji.
Papa Francis Kutembelea Msumbiji Mwezi Septemba, Kipindi cha Kampeni ya Uchaguzi Mkuu
Msumbiji itakuwa na uchaguzi mkuu mwezi Oktoba na bado haijapata nafuu kutokana na kimbunga ambacho kimeharibu kabisa Beira ambao ni mji mkubwa wa pili.
Mtunga Sheria wa Kike wa Brazili Ashambuliwa Mitandaoni Kwa Kuvaa Nguo Zinazoonesha Maumbile
"Ushiriki wa wanawake wenye jamii ni mdogo kiasi kwamba suala la mavazi linaweza kukuzwa kupindukia."
Rais wa Angola Aamsha Hasira Kwenye Mahojiano Yake Akidai Hakuna Njaa Nchini Kwake
"Leo kuna chakula cha kutosha Angola, hakuna mtu anayeweza kusema eti Angola ina njaa. Kilichopo ni utapiamlo," alisema Rais wa Angola kwenye mahojiano.