Habari kuhusu Kireno kutoka Septemba, 2013
Timu ya wanawake ya Mpira wa Kikapu ya Msumbiji Yafika Mbali
Kufuatia ushindi wa kishindo kwenye mashindano ya robo fainali (tazama habari zetu ), yaliyofanyika usiku wa jana timu ya mpira wa kikapu ya Msumbiji, wanawake, ilishinda nafasi ya kuingia kwenye Fainali za Mashindano ya Afrobasket usiku wa leo dhidi ya washindi watetezi Angola. Kwa staili nyingine ya kurudi kwa ushindi...