Habari kutoka na

Kolombia: Hapana kwa Utalii wa Ngono Mjini Medellín

  30 Septemba 2014

Kufikia katikati mwa mwezi Julai 2014, ukurasa wa Facebook Hapana kwa utalii wa ngono ulianzishwa, kwa lengo la kukuza uelewa kuhusu utalii wa ngono nchini Kolombia. Wikipedia inatafsiri dhana hiyo: … una forma de turismo con el propósito de mantener relaciones sexuales, normalmente de varones con prostitutas hembras, pero también,...

Ushiriki Mkubwa wa Umma katika Mafunzo ya Tetemeko la Ardhi Nchini Mexico

  22 Septemba 2014

Mnamo Septemba 19, 1985, kwenye maeneo ya kati, Kusini na Magharibi mwa Mexico, hususani kwenye Wilaya ya Shirikisho, yalikumbwa na tetemeko kubwa, linalosemekana kuwa baya zaidi katika historia ya Mexico inayojulikana. Wakikumbuka miaka 29 tangu tukio hilo litokee, Katibu wa Ulinzi wa raia wa Wilaya ya Shirikisho aliandaa mafunzo ya...

Honduras Yazalisha Ajira kwa Kuhamasisha Shughuli za Jamii

  30 Julai 2014

Rais wa Honduras Juan Orlando Hernandes amezindua mpango wa “Desarrollemos Honduras” (Tuiendeleze Honduras), na maofisa na jamii walishiriki katika tukio hilo. Hernandes alieleza kwamba kama nyumba imebomoka au sakafu yake ni ya udongo, matengenezo lazima yafanyike kwa kutumia sementi; au kuweka vipaumbele kulingana na mahitaji ya familia, na: Cambiar los...

Sababu za Kusafiri Mara Moja Moja

  29 Julai 2014

Kwenye blogu yake iitwayo Historias de una mujer lobo (Hadithi ya mbwamwitu wa kike), Natalia Cartolini anatafakari kuhusu sababu za kwa nini kusafiri kunaweza kuwa na faida kama, kwa maoni yake, “kutembelea maeneo mapya au kukutana na watu wapya wenye mtazamo mwingine ni muhimu wakati wote. Haijalishi kama unatoka kutembea...

Tafakuri Baada ya Kombe la Dunia la FIFA 2014 Nchini Brazili

  22 Julai 2014

Mwanafunzi wa Mexico Álvaro anablogu kuhusu hisia na maoni yake kuhusu Kombe la Dunia la FIFA 2014 nchini Brazil. Anatafakari kuhusu kufanya vibaya kwa timu za mataifa ya Mexico na Brazili, lakini anasaili kile anachokiita kushindwa kwa mkakati wa Rais wa Brazili Dilma Rouseff. Días antes del comienzo del mundial,...

Namna ya Kuwa Baba Mwema

  22 Julai 2014

Raia wa Panama Joel Silva Díaz anafafanua kile ambacho kinawashangaza watu wengi, hususani wanaume: namna ya kuwa baba mwema. Kwenye blogu yake anaeleza changamoto alizokutana nazo na baba yake mwenyewe na kuhusianisha na malengo yake kama baba: …Recuerdo que veía como un juego el buscar un tema de conversación, debido...

Puerto Deseado, Ahera ya Pwani

  30 Juni 2014

Kwenye blogu yake Viajes y Relatos, Laura Schneider anasimulia uzoefu wake alipotembelea Puerto Deseado, mji ulioko kwenye Jimbo la Santa Cruz, Ajentina. Katika siku yake ya sita ya safari yake ya kupiga picha, alitembelea na kupiga picha za mji huo mzuri katika maeneo ya karibu: Yendo por la ruta 3,...

Ucheshi na Harakati Kutoka Mexico

  30 Juni 2014

JM Casanueva, mwandishi wa blogu ya SocialTIC, anapitia mwelekeo mpya wa harakati nchini Mexico kwenye blogu na kwenye mitandao ya kijamii ambayo inatumia utani kuwafikia watu wengi zaidi: El humor siempre ha sido una táctica exitosa para transmitir causas de manera empática (sí, que alguien que no seas tú o...

Uhamaji wa Watoto Wachukuliwa kuwa ni Baa la Kibinadamu

  26 Juni 2014

Kutoka Mexico, Katia D'Artigues, ambaye ni mwandishi wa blogu ya Campos Elíseos (Champs Elysées), aandika kuhusiana na watoto kulazimika kuhama wao wenyewe [es], hali inayompelekea kuiita hali hii kuwa ni “baa la kibinadamu”: Son niños que son orillados a cruzar la frontera solos. No lo hacen por aventura, sino porque...