Habari kuhusu Vichekesho kutoka Julai, 2013
Mwandamanaji Amtaka Morsi Kuondoka Kwa Lugha ya Mafumbo
Maandamano makubwa ya kumtaka rais wa Misri Mohamed Morsi ajiuzulu yanaendelea nchini Misri kwa siku ya tatu sasa. Kwenye mtandao wa Twita, Assem Memon anaweka picha iliyopigwa kwenye maandamano: @AssemMemon: Bango...