Amanda Leigh Lichtenstein is a writer, editor, and educator from Chicago, IL (USA). She splits her time between Stone Town, Zanzibar and Chicago, USA.
makala mpya zaidi zilizoandikwa na Amanda Leigh Lichtenstein
Kubadilika kwa Utawala Nchini Tanzania: Kutoka Rais Magufuli mpaka Rais Hassan
Kwa baadhi, Magufuli anakumbukwa kama "Mwana wa Afrika kweli kweli" mpigania haki za wa-Afrika aliyetanguliza maslahi ya Afrika mbele. Wengine wanamkumbuka kama Rais 'mpenda umaarufu" aliyepigania uzalendo — kuliko kingine chochote.
Shule pekee ya muziki Zanzibar hatarini kufungwa
Kwa zaidi ya wanafunzi 1,800 waliowahi kupitia mafunzo ya shule ya DCMA, hii ndiyo shule pekee ya muziki wanayoifahamu, ambako wanaweza kujifunza na kukua kama wasanii na wanamuziki mahiri.
Binyavanga Wainaina Mwandishi wa Kenya, Aliyeifundisha Dunia ‘Namna ya Kuandika Kuhusu Afrika’, Afariki Akiwa na Miaka 48
"Kuna Binyavanga Wainaina mmoja tu. Sasa ni mhenga. Tusherehekee maisha yake." Dunia inaomboleza kupotea na kuheshimu maisha ya mwandishi mashuhuri wa Kenya.
Wakombozi wa Kizungu, Shule za ki-Liberia
Kwa baadhi ya nchi za Kiafrika, dhana ya kubinafsisha mfumo wa elimu kwa Asasi za Kiraia zenye fedha haikwepeki. Lakini wanaoathiriwa na matokeo ya ubinafsishaji huo ni wanyonge.