Sherehe ya ‘Siku ya Makazi Duniani’ Nchini Cambodia

Protesters decry land rights violations in Cambodia. Photo from Facebook of Licadho

Waandamanaji wanalamikia kuhusu ukiukwaji wa haki za ardhi nchini Cambodia. Picha kutoka ukurasa wa Facebook wa Licadho


Zaidi ya Wa-Cambodia 500 walijiunga na maandamano wakati wa maadhimisho ya Siku ya Makazi Duniani katika Phnom Penh kuonyesha kufukuzwa kwa nguvu na migogoro ya ardhi nchini.
Exit mobile version