Habari kutoka 1 Novemba 2013
Ufuatiliaji wa Upendeleo Kwenye Vyombo vya Habari Nchini Malaysia
Tessa Houghton anashiriki matokeo ya utafiti ambao ulifuatilia upendeleo katika vyombo vya habari nchini Malaysia wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 13 miezi michache iliyopita: Wananchi wa Malaysia ambao walitegemea Kiingereza...
Tamko Kuhusu Mustakabali wa Ushirikiano katika Mtandao wa Intaneti.
Wawakilishi wa mashirika yanayoratibu miundombinu ya kiufundi ya huduma ya intaneti waliokutana huko Montevideo; Uruguay, wametoa tamko kuhusu mustakabali wa ushirikiano katika masuala ya Intaneti [es], ambapo walifanya uchanganuzi kuhusiana...
PICHA: Mafuriko Makubwa Katika Mji Mkuu wa Ufilipino
Dhoruba kali ya ki-Tropiki iliikumba Filipino na kusababisha mafuriko makubwa jijini Manila na katika majimbo ya karibu. Zaidi ya watu nusu milioni wameathirika na dhoruba hiyo
Sherehe ya ‘Siku ya Makazi Duniani’ Nchini Cambodia
Zaidi ya Wa-Cambodia 500 walijiunga na maandamano wakati wa maadhimisho ya Siku ya Makazi Duniani katika Phnom Penh kuonyesha kufukuzwa kwa nguvu na migogoro ya ardhi nchini.