Watu Sitini Wauawa Kwenye Mapigano Mjini Nzérékoré, Guinea

Tovuti ya Guinee News inaripoti idadi ya vifo kufikia 60 kutokana na mauaji ya Nzérékoré, Guinea [fr] :

Les cinquante deux corps qui étaient non identifiables ont été enterrés dans une fosse commune hier. Les autres corps reconnaissables ont été remis à leurs familles.

miili 52 ambayo haikutambulika ilizikwa kwenye kaburi la pamoja jana. Miili minngine ilirudishwa kwa wafiwa.

Exit mobile version