Iran: “Mauaji” ya Wapinzani wa Iran 52 Wasiokuwa na Silaha

Vikosi vya usalama vya Iraq vilifanya “mauaji” ya wapinzani  wa Iran wapatao 52 ambao hata hivyo hawakuwa na silaha  asubuhi ya Jumapili ndani ya kambi yao kaskazini mwa Baghdad, mujahedeen-e-Khalq, wafungwa wa Iran walisema. Netizens in Balatarin, tovuti maarufu ya kusambaza habarii, iliweka picha kadhaa, filamu na posti kuhusiana na shambulio hilo.

Exit mobile version