India: Marufuku Kutuma Ujumbe wa Simu za Mkononi wa Jumla

Rajesh Jain kwenye Emergic analaumu kupigwa marufuku utumaji wa jumla wa ujumbe wa simu za mkononi pamoja na ujumbe wa media-anuai ili kuzuia uhamasishaji umma kabla na baada ya hukumu ya Ayodhya.

Exit mobile version