Podikasti: Mahojiano na Sudanese Drima

Sudanese Drima ni jina la bandia la mwandishi wa Kisudani wa Global Voices anayeishi nchini Malaysia. Blogu yake yenye kejeli The Sudanese Thinker imeandikwa na BBC, USA Today na Reuters. Katika mahojiano haya ya dakika kumi tunajadili jinsi uanahabari wa kijamii unavyoathiri Uislamu, mgogoro wa dafur, na masuala ya nafsi ya Uafrika-Uarabu katika Asia ya Kusini Mashariki.

Exit mobile version