Wa-Indonesia Wawasha Mishumaa Elfu Moja Ishara ya Amani kwa Palestina
Raia wa Indonesia walikusanyika katikati ya Jakarta, mji mkuu wa nchi hiyo, kuwasha mishumaa 1,000 kupinga mashambulio ya Israel katika ukanda wa Gaza. Indonesia ni moja ya nchi maarufu zaidi kwa wingi wa waumini wa dini ya Kiislam.
Wa-Indonesia wakisoma dua kwa ajili ya Wapalestina waliouawa kwenye mashambulio yaliyoanzishwa na Israel. Picha na Abdullah Arief Siregar. Haki Miliki @Demotix (7/11/2014)