VIDEO: Shairi la Filamu “Maombi ya Woga” Latia Fora Misri

Mkusanyiko wa kiraia la Misri Mosireen umekuwa, bila kuchoka, ukiweka kumbukumbuza Mapinduzi ya Januari 25 na matukio yaliyofuata baadae kwa kutumia picha na dokumentari. Moja ya ubunifu wake wa mwisho mwisho ni “Maombi ya Woga”, shairi la filamu iliyotengenezwa na Mahmoud Ezzat na kusimuliwa na mwanachama wa Mosireen Salma Said. Kwa kumbukumbu zake zinazoishi na zenye uchungu, shairi filamu hilo linatia fora kwa uaminifu wake na ubinadamu.

…Je, tunashinda?
Au tunakubaliana na mauaji?
Je, swali ni la aibu?
Au kimya ni kibaya?
Turekebishe yaliyoharibiwa?
Au tuhesabu maiti?
Tulifungua njia?
Au njia imeharibiwa?…

Video ya shairi kamili hii hapa:

Exit mobile version