Wito wa Maombi ya Mradi – Ufadhili wa Maktaba za Umma wa EIFL

Banner FINALMaktaba za umma na zile za jamii katika nchi zinazoendelea, zenye uchumi wa mpito, zinakaribishwa kuwasilisha maombi ufadhili wa Mradi wa Kuboresha Maktaba za Umma unaoendeshwa na shirika la EIFL. Maombi yanayoweza kukubaliwa ni yale yanayokusudia kubuni huduma mpya zitakazotumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano kwa njia za kiubunifu ili kuweza kukidhi mahitaji ya watoto na vijana katika jamii zao. Waombaji wanaweza kutuma ‘andiko’ la mradi unaoweza kugharibu hadi Dola la Kimarekani 20,000.

Miradi iwe na sifa zifuatazo:

Kwa taarifa zaidi, tafadhali tembelea tovuti ya EIFL kujua masuala muhimu kama gharama zinazotarajiwa, vigezo vya uteuzi, ratiba, dondoo za waombaji watakaofanikiwa, na mengineyo.

Tarehe ya mwisho kuwasilisha maombi ni Januari 31, 2014.

Exit mobile version