Cuba: Madiba Alifanya Mengi Mazuri Pamoja na Mapungufu Aliyokuwa Nayo.

Blogu ya Cuba Without Evasion yatanabaisha kuwa, namna pekee ya kumuenzi Nelson Mandela ni kwa “kuiga mfano wake wa kusamehe na Usuluhishi”:

Ninakusamee…kwa urafiki uliokuwepo kati yako na…dikteta aliyekuwa muovu kiasi ambacho watu wangu hawakuwahi kuushuhudia…kwa kuweka mkono wako– kwa ajili ya kuwaokoa watu wako- kwenye mabega yavujayo damu ya yule aliyenitenga na kunilaani mimi.

Exit mobile version