- Global Voices in Swahili - https://sw.globalvoices.org -

Sherehe ya ‘Siku ya Makazi Duniani’ Nchini Cambodia

Mada za Habari: Asia Mashariki, Kambodia, Maandamano, Maendeleo, Sheria, Siasa, Uandishi wa Habari za Kiraia, Utawala

Protesters decry land rights violations in Cambodia. Photo from Facebook of Licadho [1]

Waandamanaji wanalamikia kuhusu ukiukwaji wa haki za ardhi nchini Cambodia. Picha kutoka ukurasa wa Facebook wa Licadho


Zaidi ya Wa-Cambodia 500 walijiunga na maandamano [2] wakati wa maadhimisho ya Siku ya Makazi Duniani katika Phnom Penh kuonyesha [3] kufukuzwa kwa nguvu na migogoro ya ardhi nchini.