Vachanalays (vituo vya kusoma magazeti) ni jambo la kawaida katika vitongoji vingi mjini Bombay ambapo wenyeji husoma magazeti na kujadili habari zilizotokea siku husika. Sans Serif [1] anaripoti jinsi vituo hivyo vinavyozidi kupitwa na wakati pole pole. Blogu hiyo pia inaonyesha picha nzuri inayojieleza ya mwanablogu wa picha M.S. Gopal juu ya maudhui hayo kwenye Mumbai Yasimamishwa [2].
Vijiwe Vya Usomaji Gazeti Mjini Mumbai Vyazorota
· Imeandikwa na Rezwan Imetafsiriwa na Joyce Maina
Mada za Habari: Asia ya Kusini, India, Fasihi, Sanaa na Utamaduni, Uandishi wa Habari za Kiraia, Vyombo na Uandishi wa Habari