Habari kuhusu Zambia kutoka Aprili, 2012

Zambia: Rais Awakera Raia Waishio Nje

  15 Aprili 2012

Rais wa Zambia, Michael Sata, amewakasirisha raia wa nchi hiyo wanaoishi ng'ambo baada ya kuwakejeli wakati wa ziara yake ya siku tatu nchini Botswana na kufifisha matumaini yao ya kuanzishwa kwa uraia wa nchi mbili katika Katiba ya nchi ya hiyo.