Habari kuhusu Tanzania
Ajali ya Basi Yaua Makumi ya Watoto Kaskazini mwa Tanzania
Nchi hiyo ya Afrika Mashariki ina idadi kubwa ya ajali za barabarani barani Afrika.
Video ya Katuni Yafafanua Mamlaka ya Mahakama ya Kiafrika katika Kulinda Haki na Binadamu na Raia
Huna hakika mahakama hiyo hufanya kazi gani? Video hii inaweza kusaidia.
Nchini Tanzania, Kusema Msimamo Wako wa Kisiasa Mitandaoni Inazidi Kuwa Hatari
Tangu Rais John Magufuli ashinde uchaguzi wa Rais mwezi Oktoba 2015, watu 14 wameshakamatwa na kupandishwa kizimbani kwa kutumia mitandao ya kijamii kumtukana Rais
“Wiki Ilivyokwenda” Global Voices: Kujitoa kwa Uingereza Kutoka Umoja wa Ulaya Kwawa Gumzo
Wiki hii, tunakupeleka kwenye nchi za Caribbiani, Brazil, urusi, Tanzania na Azerbaijan.
Raia Mwingine wa Tanzania Asomewa Mashtaka kwa Ujumbe wa Whatsapp ‘Unaomtukana’ Rais
Mulokozi ni mhanga mwingine wa Sheria ya Makosa ya Jinai nchini Tanzania, inayojaribu kukabiliana na masuala kama picha za ngono kwa watoto, udhalilishaji wa mtandao, matumizi mabaya ya taarifa binafsi za watu na kuchapisha taarifa za uongo.
Mwanaume wa Tanzania Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Mitatu Jela kwa “Kumtukana” Rais kwenye Mtandao wa Facebook
Hukumu hii inakuja baada ya Sheria ya Makosa ya Jinai ya Tanzania kupitishwa mwaka 2015, ambayo wakosoaji wengi wanasema inawapa polisi mamlaka makubwa bila udhibiti wowote
Sheria ya Makosa ya Mtandao Tanzania Inafanya Iwe Hatari ‘Kumtukana’ Rais Kwenye Mtandao wa Facebook
Mtumiaji wa mtandao nchini Tanzania Isaac Habakuk Emily anatuhumiwa kuchapisha ujumbe wenye utata kwenye mtandao wa Facebook 'akimtukana' rais wa Tanzania
Wa-Tanzania Wamkumbuka Baba wa Taifa Lao kwa Alama ya #DearNyerere
"#DearNyerere, enzi zako, umaarufu ulitokana na matendo mazuri kwa nchi yako, lakini siku hizi ni idadi ya wafuasi kwneye mitandao ya Instagram na Twita."
Fuatilia Uchanguzi wa Kihistoria Kuwahi Kutokea Nchini Tanzania
"Lowassa ni Robin Hood wa Kimasai. Au El Chapo wa Kitanzania. Itazame mikono aishikayo na siyo vidole avikanyagavyo."
Tunayoyajua na Tusiyoyajua Baada ya Jaribio la Mapinduzi Nchini Burundi
Celebration and jubilation near Presidential offices in Bujumbura after the overthrow of Nkurunziza. #BurundiCoup pic.twitter.com/WhJzXKfS69 — Robert ALAI (@RobertAlai) May 13, 2015 Shangwe na vifijo karibu na ikulu ya Rais nchini Bujumbura baada ya kupinduliwa kwa Nkurunzisa. Kufuatia nia ya kugombea urais kwa kipindi cha tatu ya Rais wa Burundi...